"Bosi"
— дуулсан Ferooz , Juma Nature
"Bosi" нь бичлэгийн шошгоны албан ёсны суваг болох "Ferooz & Juma Nature" дээр 21 аравдугаарсар 2024-д гарсан Танзани-д хийсэн дуу юм. "Bosi"-ийн талаархи онцгой мэдээллийг олж аваарай. Bosi дууны үг, орчуулга, дууны баримтыг олоорой. Орлого ба цэвэр хөрөнгийг интернетээс олж авсан мэдээллийн дагуу ивээн тэтгэгч болон бусад эх сурвалжаас хуримтлуулдаг. "Bosi" дуу нь эмхэтгэсэн хөгжмийн чартуудад хэдэн удаа гарсан бэ? "Bosi" бол Шилдэг 100 Танзани дуу, Шилдэг 40 Танзани дуу гэх мэт алдартай шилдэг чартуудад багтсан алдартай хөгжмийн видео юм.
|
Download New Songs
Listen & stream |
|

"Bosi" Баримт
"Bosi" нь YouTube дээр нийт 1.3M үзэлт, 27.9K лайк авсан байна.
Энэ дууг 21/10/2024-д илгээсэн бөгөөд 28 долоо хоног чартуудад зарцуулсан.
Дууны клипний анхны нэр нь "FEROOZ FT. JUMA NATURE - BOSI (OFFICIAL VIDEO)".
"Bosi" нь Youtube дээр 21/10/2024 16:30:06 дээр нийтлэгдсэн.
"Bosi" Дууны үг, хөгжмийн зохиолчид, бичлэгийн шошго
LYRICS
[Verse 1: Ferooz]
Homa kali imenichachamaa mwilini
Watoto wiki ya pili wamefukuzwa ada shuleni
Na mtaani sina amani nimeandamwa na madeni
Mama watoto wahi kazini kwangu upate taarifa
Kama kuna msaada wowote bosi anaweza kupa aaaaaah Alfajiri iliofuata Mama akajidamka
Tukaagana vizuri, kazini kwangu akaibuka
Kufika pale bila ya kuipoteza mida
Akaingia ofisini na kuanza kueleza shida
Okay okay Bosi akamkubalia
Na fedha akampatia, Kumbe tayari alikuwa ameshamzimia Ili kumkoleza, fedha akamuongeza
Katika maongezi maongezi boss akamtongoza
Mama akiangalia hali aliyoiacha nyumbani
Ni dhiki kubwa ambayo kwakweli hakuitamani
Na kama unavyoelewa mapenzi ya sikuhizi
Alisha ahidiwa atagharamiwa yote matumizi
Ikibidi akubali tena bila kipingamizi
Baada ya kupita kipindi mapenzi yakaanza Shamiri
Huku kabwela mimi sina hile wala hili
Bosi akaanza kunipa safari nyingi za kikazi
Ili nikiondoka apate nafasi ya kumwaga radhi
Hadi kufika hapo mi sikuelewa
kama kuna picha ninayochezewa
Wafanyakazi wenzangu wakaja nishtua
Kwamba sikuhizi wife wako bosi anamchukua
Kwakuwa nilimuamini sana wife nilibisha
Lakini baada ya kuchunguza nikaja hakikisha
Nikamwambia mama watoto ila akakataa
Nikimueleza bwana mkubwa itakuwa kizaa zaa, Itakuwa kizaa zaa
[Chorus: Ferooz]
Wanasema sikubali bora niangamie Wengine wanasema heri nivumilie Kwengine wapi ntapata ajira nambie
Na elimu yangu ndo vile mwenzangu na mie Watoto wataishi kwenye yapi mazingira Nikimwambia bwana mkubwa ntaikosa ajira
[Verse 2]
Taswira yangu ilipoanza kukosa mwangaza
Na Afya ikaanza dhohofika kwaajili ya kuwaza
Hata muda mrefu hauchukua,
nikazidi kuchanganyikiwa nilivyogundua
Nilivyogundua kwamba,
Laazizi wangu waridi la maisha amebeba mimba kwenye mazingira yalionitatanisha
Jiujezi mbwiga aliekosa wazazi, nikashindwa kula wala kupata usingizi
Nikawa nakesha, nikimuomba manani anijalie muelekeo
Huku nikivuta subra kusubiri matokeo
Dah Ila sikuamini yangu macho, ilipofika kipindi ambacho
Wife wangu alipojifungua ujauzito
Kuzaliwa mtoto kafanana na yule kizito
Akili ikanituma nichukue panga au rungu
Ili niende kumdhuru yule mtoto kwa uchungu
Nahisi malaika wakapooza jazba zangu
Na kunikumbusha kuwa kile ni kiumbe cha Mungu
Baada ya kupita siku tatu wakaja wafanyakazi Wenzangu
Eti kunipa pongezi wakiwa na yule bosi wangu
Machungu yalinijaa moyoni, lakini nilishindwa nifanye nini Nikimuharibia bosi ntafukuzwa kazini
Wadhifa wake wafanya apate ninyanyasa
Nami kuishi hivyo nafsi yangu inakataa
Nachohofia endapo kazi nitaikosa
Watoto wataishi vipi naomba ushauri wa kufuata Mwenzenu mimi, mwenzenu mimi
[Chorus: Ferooz]
Wanasema sikubali bora niangamie
Wengine wanasema heri nivumilie
Kwengine wapi ntapata ajira nambie
Na elimu yangu ndo vile mwenzangu na mie Watoto wataishi kwenye yapi mazingira Nikimwambia bwana mkubwa ntaikosa ajira Wanasema sikubali bora niangamie
Wengine wanasema heri nivumilie
Kwengine wapi ntapata ajira nambie
Na elimu yangu ndo vile mwenzangu na mie Watoto wataishi kwenye yapi mazingira Nikimwambia bwana mkubwa ntaikosa ajira
[Verse 3: Juma nature]
We feruzi muharibie, muharibie uyo, mkate kidevu
Boss mkurugenzi kitambi meneja
Usione tumekonda ukadhania mateja
Sasa ndo umemfanya nini mfanyakazi mwenzetu?
Si umemchukulia mkewe ndoman analalamika
Au kuna jingine Ferooz hataki kuwajibika
Sikiliza mwanangu feruzi, hapa hatoki mtu
Ukisema umuache utakuwa umeidhulumu nafsi
Yani najiskia vibaya kwanini huyu bosi hafi
Ananiudhi
Feruzi mharibie, mbona unasita sita?
Feruzi mkate kidevu mzee, Au unamuogopa?
[Ferooz]
Naweza, Hivyo naweza, ninachohofia familia kuiteketeza
Nyumba ninayokaa ni mali ya shirika
Nitaenda ishi wapi bosi akikasirika?
Ukoo mzima mimi unanitegemea, na mimi kazini pale ndo nilipoegemea Kutokana na unyama bosi alionitendea
Wengine wanashauri hata kwa mganga ningemwendea
[ferooz]
Ooooh oooh hapana, hapana, hapana
Hivyo ndo utaharibu kabisa, hivyo ndo utaharibu kabisa
Nishaishi vipi kama mtumwa anaekosa Uhuru
Akati mie hali hio binafsi inanidhuru
Kitu kinachoniongeza mimi machungu Kubambikiwa mtoto ambae si damu yangu
Eeeh mola nisaidie
Nipo kwenye janga la utata, nipo kwenye janga la utata [Chorus: Ferooz]
Wanasema sikubali bora niangamie
Wengine wanasema heri nivumilie
Kwengine wapi ntapata ajira nambie
Na elimu yangu ndo vile mwenzangu na mie
Watoto wataishi kwenye yapi mazingira
Nikimwambia bwana mkubwa ntaikosa ajira
Audio produced by:
Mixing and Mastering by:
Video directed by:
#ferooz #jumanature #bosi